Posts

DARAJA

Daraja ni kitu kinachotusaidia kuvuka palipo na mfereji au shimo la maji ili kuenda upande mwingine, Lakini katika watu wanaolitumia wapo wengine wanataka kulitumia kwa matumizi tofauti na kazi yake, ikiwemo kuliachia tope baada ya kulitumia ili watu wengine waje na liwaangushe, vile vile watu hao malengo na mtazamo wao ni kutaka kuling'oa hilo daraja kwa faida yao wenyewe, lakini pia kuna watu wengine wanaotaka daraja hilo kulikatia kuni, Wanashindwa kujua kuwa kuna watu waliangaika kuliteneza hilo daraja, Kuna waliangaika kutafuta miti na kukata mbao ili daraja lionekane kuwa daraja. Binadamu washindwa kujua umuhimu wa mtu wakati yupo hai na kujifanya kumpenda wakati ameshatoweka. By Pawn Yakyeelwa (P K W) from somewhere kupori in DRC 🇨🇩

Tatizo la Kujilinganisha

Watu wengi wanakuwa na tatizo hili la kujilinganisha na waliotangulia wakati wenyew ni wageni husindwa kuelewa kwamba yule alie tangua ametangulia na vyote. Ikiwa mtu ni mgeni sehemu fulani ni lazima ataona tofauti tofauti kati yake na aliowakuta mfano; mitindo ya mavazi, matumizi ya vitu, kuzumbaa (mzembe), aibu fulani hiv kwa mgeni, n.k... Mtu anapoona hiv pia anatamani anaanza kuiga mitindo ya mavazi kwa aliowakuta hap... ikiwa wew ni mgeni huwezi kuwa sawa na uliowakuta kwa hivo angalia hao lini walifika hapo au wana mda gani hapo mbele ya wew hujajilinganisha kisha angalia mda wako wew hapo utaona tofauti kati yenu. Wacha kuiga jilinganishe na ulio nao sawa sio waliotangulia.  Ahsante kwa uelewa by Pawn Yakyeelwa someone from somewhere kupori in DRC 🇨🇩

Mafanyikio ni mtu peke

Mti ulioota kwenye ukami wa maji ni mgumu kuliko hule ulioota pembezon mwa bahari, maan mti hule ulipo kwenye ukame mizizi yake uenda mbali kutafuta maji ila huu mwingine mda wote upo sawa. Pale unaposhindwa ndipo unapojifunza nin kizur nin sio kizur au ni sahihi lakin pia kumbuka mtiani wowote hule ukiufanya kwa mara ya kwanza ambao somo hilo ulikwa hujawahi kuliona huwezi kuupata kwa asilimia  Mia (100%) haiwezekani, unaweza kukosa baadhi ya maswali au kukosa mtiani mzima moja kwa moja.  Kukosa kwako ni kijifunza kwako lile uliokuwa hulijui au ulikuwa umeshalisahau. Jifunze kupitia makosa/ pale unapo shindwa alafu baadae jaribu tena. Think about 2022 👨‍🎓👨‍🎓👨‍🎓👨‍🎓

Believe in yourself

We become what we think about most of the time, and that’s the strangest secret, Everything happens for a reason. Maybe you don't see the reason right now, but when it is finally revealed..it will blow you away, Forgiveness is my sweetest revenge, Feel free don't worry about me🙏🙏🙏

Kuoa na kuolewa

Hivi kama kuoa/kuolewa ingekuwa mpango wa mtu nani angeoa/olewa ili kuvumilia ? Ila kwa sababu kuoa ni uamuzi wa mtu ndio maana unaambiwa ndoa ni kuvumiliana@ By Pawn Yakyeelwa someone from somewhere kupori in DRC 🇨🇩.

God always do the rest

Whatever you are doing God is with you Sometimes you may see that you are going through rough time, you think a lot things because you don't know what God prepares for you, May be God wants to move you from bad ways to a good opportunity 🙏 By Pawn Yakyeelwa from somewhere kupori in DRC 🇨🇩

Mungu hajakuacha mwenye haki

Je hivi unasomaga Biblia takatifu ? Angalia;  Zaburi 34:19          Mateso ya mwenye haki ni mengi,  Lakini BWANA humponya nayo yote. Zaburi 37:16           Kidogo alicho nacho mwenye haki ni bora  Kuliko wingi wa mali wa wasio haki wengi. Pia malizia hapa; Mithali 24:15-16 [15]Ewe mtu mbaya, usiyavizie makao yake mwenye haki;  Wala usipaharibu mahali pake pa kupumzika; [16]Kwa maana mwenye haki huanguka mara saba akaondoka tena;  Bali wasio haki hukwazwa na mabaya. 🙏🙏🙏 Pawn Yakyeelwa @

Kizuri hakiombi haraka.

Isio riski hailiki, Jua siku zote haliwezi kuangaza ulimwengu kwa mkupuo ndio maana utaona kuna sehem wapo asubuhi na wengine usiku. Mungu anakupa unacho staili sio unataka (unachopenda). Someone from somewhere kupori. Samaani🙏....

En cas de technologie s'il ya lieux.

La séparation est mieux s'il y a la communication mais s'il n' y a plus, les personnes sont comme les mortes même si la distance est de deux centimètres. By Pawn Yakyeelwa (Pierre Kungu) de kananda kupori.

Le silence est une lesson

Être calme n'est plus source de ne pas trouver la satisfaction de besoins.  By Pawn Yakyeelwa de Kananda kupori