Mungu hajakuacha mwenye haki

Je hivi unasomaga Biblia takatifu ?
Angalia; 
Zaburi 34:19
         Mateso ya mwenye haki ni mengi, 
Lakini BWANA humponya nayo yote.
Zaburi 37:16
          Kidogo alicho nacho mwenye haki ni bora 
Kuliko wingi wa mali wa wasio haki wengi.

Pia malizia hapa;
Mithali 24:15-16
[15]Ewe mtu mbaya, usiyavizie makao yake mwenye haki; 
Wala usipaharibu mahali pake pa kupumzika;
[16]Kwa maana mwenye haki huanguka mara saba akaondoka tena; 
Bali wasio haki hukwazwa na mabaya.
🙏🙏🙏
Pawn Yakyeelwa @

Comments

Popular posts from this blog

God always do the rest

Kizuri hakiombi haraka.